Mtangazaji mkongwe wa Ramogi FM azikwa
Published on: December 18, 2017 08:04 (EAT)
Mtangazaji mashuhuri wa Ramogi Fm Patrobas Agao aliyefariki wiki tatu zilizopita amezikwa leo katika eneo bunge la Nyakach Kaunti ya Kisumu katika hafla iliyohudhuriwa na familia, wafanyikazi wenza na maelfu ya mashabiki wake. Agao amekumbukwa kama kielelezo chema kwa jamii haswa kwa nyanja yake ya uanahabari ambapo amewakuza vijana wengi kuwa wanahabari bora. Mwanahabari wetu Gatete Njoroge ametuandalia taarifa hiyo
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment