Mfu Aibiwa Mavazi

Mfu Aibiwa Mavazi

Mtazamaji, ushawahi kusikia maiti ameibiwa? Basi kama hujaskia utashangaa na tukio hili ambapo familia ya jamaa mmoja mwenda zake walifika katika hifadhi ya maiti ya Gakwegori, Kaunti ya Embu na kubakia vinywa wazi, walipopata suti na sanda za bei ghali walizokuwa wamemnunulia ili asitiriwe nazo zilikuwa zimebadilishwa na kuvalishwa zingine duni. Gatete Njoroge na taarifa hiyo  

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories