Mfu Aibiwa Mavazi
Published on: April 29, 2015 05:39 (EAT)
Mtazamaji, ushawahi kusikia maiti ameibiwa? Basi kama hujaskia utashangaa na tukio hili ambapo familia ya jamaa mmoja mwenda zake walifika katika hifadhi ya maiti ya Gakwegori, Kaunti ya Embu na kubakia vinywa wazi, walipopata suti na sanda za bei ghali walizokuwa wamemnunulia ili asitiriwe nazo zilikuwa zimebadilishwa na kuvalishwa zingine duni. Gatete Njoroge na taarifa hiyo
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment