Mama Nzisa asherehekea miaka 100

Familia, jamaa na marafiki wa Mama Lusia Kamitu walipata fursa ya kipekee hapo jana kuadhimisha miaka 100 tangu kuzaliwa kwa Mama Kamitu ambaye alizaliwa mwaka wa 1917. Sherehe hiyo maalum iliyofanyika katika eneo la Matungulu kaunti ya Machakos ikiwa fursa bora ya kuwaleta pamoja familia yake na jamii kwa jumla.

Tags:

Matungulu Mama Lusia Kamitu Nzissa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories