Kalonzo akanusha madai kwamba ataihama NASA
Published on: March 31, 2017 07:56 (EAT)
Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka amekanusha madai ya kuwa na njama ya kung’atuka NASA, lakini akamtetea kinara wa wachache katika bunge la kitaifa Francis Nyenze dhidi ya matamshi aliyotoa juzi kuhusiana na hali ilivyo katika muungano wa upinzani. Musyoka amesisitiza yuko ndani ya NASA hadi mwisho, lakini akataka semi za wale wanaounga mkono azma yake ya urais ziheshimiwe, sawa na zile za wafuasi wa vinara wenza wa NASA.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment