Jeshi lachukua mamlaka ya utawala jijini Harare

Hali si hali nchini Zimbabwe baada ya wanajeshi kuchukua hatamu za uongozi wa nchi hiyo siku moja tu baada ya mkuu wa wanajeshi kutangaza kuwa hawataruhusu viongozi waliopigania uongozi wa taifa hilo kunyanyaswa na maafisa wachache wa chama tawala cha ZANU-PF. Haya yanajiri siku chache baada ya makamu wa rais Emmerson Mnangagwa kufutwa kazi kwa madai ya kutaka kumwondoa mamlakani Rais Robert Mugabe.

Tags:

Robert Mugabe Zimbabwe Emmerson Mnangawa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories