Gladwel Wairimu hutunza maiti Voi
Published on: October 14, 2017 08:15 (EAT)
Katika ulimwengu wa sasa ambapo ajira zimekuwa adimu, kila mmoja hufanya bidii masomoni angalau kuajiriwa ili kuyakithi maisha yake. Katika mji wa Voi kaunti ya Taita Taveta mwanamke mmoja kwa jina Gladwel Wairimu ameshangaza wengi baada ya kuajiriwa katika chumba cha kuhifadhia maiti, kazi ambayo watu wengi huiogopa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment