Gladwel Wairimu hutunza maiti Voi

Katika ulimwengu wa sasa ambapo ajira zimekuwa adimu, kila mmoja hufanya bidii masomoni angalau kuajiriwa ili kuyakithi maisha yake. Katika mji wa Voi kaunti ya Taita Taveta mwanamke mmoja kwa jina Gladwel Wairimu ameshangaza wengi baada ya kuajiriwa katika chumba cha kuhifadhia maiti, kazi ambayo watu wengi huiogopa.

Tags:

voi Gladwel Wairimu undertaker Voi morgue

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories