Gharama ya amani kati ya Samburu na Pokot
Published on: October 14, 2017 08:14 (EAT)
Wafugaji kutoka jamii ya Wasamburu wanaoishi katika maeneo yaliyo karibu na mipaka ya kaunti ya Samburu na Baringo wamedhamiria kudumisha amani kati yao na jamii jirani ya Wapokot. Jamii hizo zimekuwa zikikabiliana katika uvamizi wa kulipiza kisasi cha wizi wa mifugo. Lakini sasa wameapa kusahau yaliyopita na kuboresha uhusiano mwema ili kujenga taifa na mustakabali wa vizazi vyao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment