Chifu Bitok husakata densi kabla ya kuhutubia hadhira

Chifu mmoja kutoka kaunti ya Uasin Gishu amewashangaza wengi jinsi anavyonengua maungo kama njia ya kuwavutia wakazi kwenye mikutano yake, tofauti kabisa na Viongozi wa serikali ambao mara nyingi wao huonekana watulivu na kufuata sheria ama wakati mwingine kutumia nguvu.

Tags:

Uasin Gishu eldoret Chief Bitok

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories