Aliyekuwa Mbunge wa Kilome Harun Mwau aelekea mahakamani kupinga ushindi wa Rais Kenyatta

 

Rais Uhuru Kenyatta sasa hataapishwa akatika siku saba zijazo.hii ni baada ya kesi za kupinga uchaguzi wa Oktoba ishirini na sita kuwasilishwaamahakamani. Aliyekuwa mbunge wa kilome harun mwau amerejesha kesi katika mahakama ya upeo kusisitiza kwa uchaguzi huo haukua halali kwasababu shughuli ya uteuzi haikufanyika.   Haya ni huku shirika la Institute For Democratic Governance likiitaka mahakama ya upeo kuwapata vinara wa NASA na hati ya kukiuka sheria za uchaguzi kwa madai ya kuvuruga matayarisho ya uchaguzi.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories