Zaidi ya watu 2,500 wakimbia makazi yao Baringo

anthony dianga
By anthony dianga May 10, 2017 09:24 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Wakazi wa eneo la muchongoi kaunti ya baringo waliandamana kulalamikia hali tete ya usalama licha ya uwepo wa maafisa wa polisi wanaoendeleza oparesheni katika eneo hilo.

 

Majambazi waliojihami walivamia kijiji cha hicho na kuiba mifugo wapataomia tano huku wakimjeruhi mtu mmoja vibaya kwa kumpiga risasi.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!