Sonko akosa kupata cheti cha nidhamu kutoka CID
Audio By Vocalize
Seneta wa Nairobi Mike Sonko huenda asiweze kugombania kiti cha ugavana wa nairobi kwenye uchaguzi mkuu ujao kutokana na kukosa kupata baadhi ya stakabadhi muhimu zinazohitajika kwa uteuzi. Swaleh mdoe anatuarifu zaidi

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!