Rais Kenyatta leo amezuru kaunti za Mwingi na Embu

anthony dianga
By anthony dianga January 25, 2017 08:28 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Rais uhuru kenyatta amepuuzilia mbali madai ya kinara wa upinzani Raila Odinga, kuwa serikali ina njama ya kuiba kura katika kinyang’anyiro cha mwezi agosti.

Kenyatta amemtaja Odinga kama mwanasiasa anayependa kulalamika na kuwachochea wafuasi wake, huku akidai ni ishara ya kuingiwa na kiwewe kabla ya uchaguzi mkuu.

Naibu wa Rais William Ruto akiwahimiza wafuasi wa jubilee kujisajili kwa wingi kama wapiga kura, na kuupiga kumbo mrengo wa upinzani ifikapo agosti. Francis Gachuri ana taarifa kamili.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!