Madhara ya ukeketaji
Audio By Vocalize
Kuna nuru gizani kwa kina mama na wasichana waliokeketwa huku shirika moja likielimisha madaktari humu nchini kwa upasuaji wa aina yake utakaosaidia wasichana kurekebisha sehemu zao nyeti na kurejea kuwa ni kama ambazo hazijakeketwa. Na kama anavyoarifu mwanahabari saida swaleh tayari wanawake 50 wamefanyiwa upasuaji huo unaochukua dakika thelathini tu kukamilika.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!