Madhara ya ukeketaji

anthony dianga
By anthony dianga May 09, 2017 08:59 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Kuna nuru gizani kwa kina mama na wasichana waliokeketwa huku shirika moja likielimisha madaktari humu nchini kwa upasuaji wa aina yake utakaosaidia wasichana kurekebisha sehemu zao nyeti na kurejea kuwa ni kama ambazo hazijakeketwa. Na kama anavyoarifu mwanahabari saida swaleh tayari wanawake 50 wamefanyiwa upasuaji huo unaochukua dakika thelathini tu kukamilika.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!