Ghasia zakumba uteuzi wa Jubilee
Audio By Vocalize
Mchakato wa kuwachagua wanachama watakaompigia debe rais Kenyatta na naibu wake mwakani unaonekana kuzua suitafahamu katika maeneo mbalimbali nchini. Na kama anavyotupasha mwanahabari wetu, Salim Swaleh, matukio hayo ya fujo sasa yanaonekana kuwapiga mshipa vigogo wa juu wa Jubilee.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!