Bunge la Afrika Mashariki

anthony dianga
By anthony dianga May 11, 2017 09:27 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Naibu Rais William Ruto amejitosa kwenye mjadala kuhusu wanaopendekezwa kuwa wabunge wa bunge la jumuia ya Afrika Mashariki na kuwakashifu viongozi wa upinzani kwa kuwateua jamaa zao. Hii ni baada ya chama cha wiper kumteuamwanawe Kalonzo Musyoka, Kennedy Kalonzo. Hata hivyo chama cha wiper kimetetea uteuzi huo na kusema kuwa kennedy aliibuka na alama za juu zaidi kati ya watu saba waliotuma maombi wakitaka kuteuliwa na chama hicho.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!