Bado kuna utata kuhusu uteuzi wa ODM
Audio By Vocalize
Wagombea walioshindwa katika mchujo wa chama cha odm hii leo wameendeleza vikao na bodi iliyobuniwa na chama hicho kutatua mzozo unaozunguka kushindwa kwao. Na kama anavyotuarifu mwandishi wetu stephen letoo, wabunge kama vile jakoyo midiwo huenda wakajipata pabaya katika uchaguzi mkuu ujao..

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!